Thursday , 9 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mbowe akamatwa jimboni kwake
Habari za Siasa

Mbowe akamatwa jimboni kwake

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema
Spread the love

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Chadema Kanda ya Kaskazini kupitia ukurasa wake wa Twitter, Mbowe amekamatwa leo tarehe 28 Februari 2020, baada ya kumaliza kufanya mkutano wa hadhara jimboni kwake.

Taarifa ya kanda hiyo imedai kuwa, Polisi hawakueleza sababu za kumkamata Mbowe.

Mbowe alifanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Nkoromu kwenye Kata ya Masama, Wilayani Hai.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Rais Samia: Matumizi ya nishati safi sio anasa, ladha ipo

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amesema matumizi ya nishati safi kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Samia: Kuanzia Agosti marufuku kutumia mkaa, kuni

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Nchi, Ofisi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mwendokasi Kigogo – Segerea kujengwa awamu ya 5

Spread the loveNaibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Festo Dugange...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Rais Samia ni Mzanzibari: Shida Iko Wapi?

Spread the loveTAIFA linakabiliwa na upungufu wa fikra sahihi. Upungufu huu unaonekana...

error: Content is protected !!