Sunday , 28 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Kwanza TV yakata rufaa
Habari Mchanganyiko

Kwanza TV yakata rufaa

Maria Sarungi Tsehai, Mkurugenzi wa Kampuni ya Kwanza Broadcasting Limited
Spread the love

KAMPUNI ya Kwanza, inayoendesha Televisheni ya mtandaoni (Kwanza TV), inatarajia kukata rufaa dhidi ya hukumu ya kufungiwa chaneli yake, kwa muda miezi sita. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa hiyo imetolewa leo tarehe 24 Oktoba 2019 na Maria Sarungi, Mkurugenzi wa Kampuni ya Kwanza Broadcasting Limited.

Taarifa ya Sarungi imeeleza kuwa, amedhamiria kupinga hukumu hiyo namba 5 iliyotolewa mwezi Septemba  2019 na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) chini ya Kamati yake ya Maudhui.

Maria ameeleza kuwa, rufaa hiyo imekatwa katika Baraza la Rufaa la Tume ya Ushindani Tanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mvungi aendesha kikao kazi cha wataalam wa Regrow

Spread the love  MKURUGENZI wa Idara Sera na Mipango Wizara ya Maliasili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jacob, Malisa waachiwa kwa masharti

Spread the love  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,...

Habari Mchanganyiko

Polisi wakanusha kufanya uzembe ajali iliyouwa mwandishi Ayo Tv

Spread the loveJESHI la Polisi limekanusha tuhuma zilizoibuliwa dhidi yake  kwamba limekawia...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia kuzindua gazeti litakalotoa habari za wafanyakazi Tanzania

Spread the loveSHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), liko mbioni kufufua...

error: Content is protected !!