Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Eliud Kipchoge: Binadamu wa kwanza kukimbia km 42 kwa saa 2
Michezo

Eliud Kipchoge: Binadamu wa kwanza kukimbia km 42 kwa saa 2

Spread the love

MWANARIADHA wa Kenya, Eliud Kipchoge ameweka rekodi ya kuwa binadamu wa kwanza kumalizia mbio za Marathon (kilomita 420 ndani ya masaa mawili. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Kipchoge ameweka rekodi hiyo leo baada ya kumaliza mbio hizo za kilomita 42 baada ya kutumia dakika 1:59:40 katika mashindano ya mbio za INEOS zilizofanyika Vienna, nchini Austria.

Mwanariadha huyo mbali ya kuweka rekodi hiyo ambayo hyaujawahi kuwekwa na binadamu yoyote duniani, mwaka 2017 aliweka rekodi nyingine ya kumaliza kilomita 42 kwa kutumia saa 2:00:25, katika mashindano yaliyofanyika Monza, nchini Italia.

Kipchoge amefanikiwa kuweka rekodi hiyo baada ya kuwashinda wanaridha wengine 41 kutoka katika mataifa mbalimbali walioshiriki mbio hizo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!