Sunday , 28 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Jengo Old Tanga Sekondari lateketea
Habari Mchanganyiko

Jengo Old Tanga Sekondari lateketea

Spread the love

JENGO moja la Shule ya Sekondari ya Old Tanga, iliyoko jijini Tanga limeteketea kwa moto mchana wa leo tarehe 18 Septemba 2019. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea).

Tukio hilo limethibitishwa na Edward Bukombe, Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Tanga, aliyesema kwamba moto huo ulizuka majira ya saa 6.00 mchana.

Kamanda Bukombe amesema, hadi sasa chanzo cha moto huo bado hakijajulikana. Hata hivyo, amesema moto huo haujaleta madhara.

“Kuna jengo moja ambalo ni ukumbi, ni jengo la zamani tangu enzi ya mkoloni limeungua lote kwa moto. Bado hatujajua chanzo chake. Lakini haujaleta madhara yoyote kwa binadamu,” amesema Kamanda Bukombe.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wami Ruvu hawana deni la Rais Samia katika kutunza vyanzo vya maji

Spread the love  BODI ya Maji Bonde la Wami Ruvu, imeendelea kuchua...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

Habari Mchanganyiko

Dk. Jafo aipongeza Oryx kumuunga mkono Samia

Spread the loveWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na...

Habari Mchanganyiko

Mvungi aendesha kikao kazi cha wataalam wa Regrow

Spread the love  MKURUGENZI wa Idara Sera na Mipango Wizara ya Maliasili...

error: Content is protected !!