Sunday , 19 May 2024
Home Gazeti Tangulizi DC, DED watumbuliwa
Tangulizi

DC, DED watumbuliwa

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa Majura Kasika, Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Morogoro na Mussa Mnyeti, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya hiyo. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea).

Taarifa ya utenguzi huo imetolewa leo tarehe 17 Septemba 2019 na Gerson Msigwa, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu.

Kwa mujibu wa taarifa ya Msigwa, uteuzi wa viongozi hao umetenguliwa kuanzia leo, taarifa hiyo inaeleza kuwa, uteuzi wa viongozi watakaojaza nafasi hizo utafanyika baadaye.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Wakili Mwabukusi anusurika kufungiwa, asema hatarudi nyuma

Spread the loveWAKILI Boniface Mwabukusi amesema kuwa hatorudi nyuma kuwatetea Watanzania na...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Lissu akabidhiwa gari lake, aomba msaada wa matengenezo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu leo Ijumaa amekabidhiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Haya hapa majina walioteuliwa kugombea nafasi mbalimbali CHADEMA

Spread the loveCHAGUZI wa kanda za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Uingereza yamwaga bil. 9 kumuunga mkono Samia matumizi nishati

Spread the loveWaziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Selemani...

error: Content is protected !!