Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Tangulizi DC, DED watumbuliwa
Tangulizi

DC, DED watumbuliwa

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa Majura Kasika, Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Morogoro na Mussa Mnyeti, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya hiyo. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea).

Taarifa ya utenguzi huo imetolewa leo tarehe 17 Septemba 2019 na Gerson Msigwa, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu.

Kwa mujibu wa taarifa ya Msigwa, uteuzi wa viongozi hao umetenguliwa kuanzia leo, taarifa hiyo inaeleza kuwa, uteuzi wa viongozi watakaojaza nafasi hizo utafanyika baadaye.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

error: Content is protected !!