Wednesday , 1 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Ndege yawaka moto Mafia
Habari Mchanganyiko

Ndege yawaka moto Mafia

Spread the love

WATU watano wamenusurika kufa huku watatu hawajajulikana walipo katika ajali ya ndege, inayodaiwa ya Shirika la Tropical iliyotokea leo tarehe 6 Agosti 2019 kisiwani Mafia. Anartipoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa za awali zianeleza kuwa, ajali hiyo imetokea muda mfupi baada ya ndege hiyo ndogo kuanza safari yake kuelekea jijini Dar es Salaam.

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa, ndege hiyo ilishindwa kupaa na kwenda kuvamia senyenge zilizowekwa kwenye uwanja huo kuzuia watu kisha kuwaka moto.

https://youtu.be/R0TdsNGcKfo

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!