Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Kiwanda cha Bora chateketea kwa Moto
Habari MchanganyikoTangulizi

Kiwanda cha Bora chateketea kwa Moto

Spread the love

KIWANDA cha Bora kilichopo maeneo ya Tazara, barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam kinawaka moto. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa za awali zinaeleza kuwa, kiwanda hicho kinachotengeneza viatu kimeanza kuungua tangu majira ya saa 10 alfajiri ya leo tarehe 28 Februari 2019.

Kikosi cha zimamoto kiko eneo la tukio kinaendelea na jitihada za kuuzima moto huo.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI ONLINE kwa taarifa zaidi kuhusu tukio hilo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!