Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Halima Mdee: Nimeitwa polisi, sijui kuna nini?
Habari za Siasa

Halima Mdee: Nimeitwa polisi, sijui kuna nini?

Halima Mdee, Mbunge wa Kawe
Spread the love

HALIMA Mdee, Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti  wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), amepokea wito wa Kamanda wa Upelelezi (RCO) Mkoa wa Kipolisi wa Kindoni, kwa ajili ya kufanyiwa mahojiano. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Taarifa ya wito huo imetolewa leo tarehe 23 Februari 2019 na Mdee kupitia ukurasa wake wa  mtandao wa kijamii wa Twitter.

Katika taarifa hiyo, Mdee ameandika kwamba ameitwa kwa ajili ya kuhojiwa katika Kituo cha Polisi cha Oesterbay, huku akieleza kuwa, hajui sababu ya wito huo.

“Nimepata WITO wa KUITWA POLISI OYSTERBAY kwa MAHOJIANO.Mpaka SASA sababu ya wito ni NINI. Ngoja TUJONGEE,” ameandika Mdee katika ukurasa wake wa Twitter.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

error: Content is protected !!