Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Wema Sepetu afikishwa mahakamani Kisutu
Michezo

Wema Sepetu afikishwa mahakamani Kisutu

Spread the love

WEMA Sepetu, Miss Tanzania mwaka 2006 na mwigizaji wa filamu Tanzania, amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Alhamisi Novemba Mosi, 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Pamoja na Wema kufikishwa mahakamani hapo saa 4 asubuhi na kupelekwa katika chumba cha mahabusu, lakini bado haijajulikana atashitakiwa kwa kosa gani.

Msanii huyo alitinga mahakamani hapo akiwa ameambatana na polisi kike, akiwa amevaa miwani na kujitanda ushungi kwa lengo la kujificha.

Kufikishwa mahakamani kwa Wema kunatokana na taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii juu ya kukamatwa kwa msanii huyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Jumamosi ya leo ni ya pesa tu kutoka Meridianbet

Spread the love  IKIWA leo hii ni Jumamosi nyingine na tulivu kabisa,...

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

error: Content is protected !!