Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Michezo Wema Sepetu afikishwa mahakamani Kisutu
Michezo

Wema Sepetu afikishwa mahakamani Kisutu

Spread the love

WEMA Sepetu, Miss Tanzania mwaka 2006 na mwigizaji wa filamu Tanzania, amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Alhamisi Novemba Mosi, 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Pamoja na Wema kufikishwa mahakamani hapo saa 4 asubuhi na kupelekwa katika chumba cha mahabusu, lakini bado haijajulikana atashitakiwa kwa kosa gani.

Msanii huyo alitinga mahakamani hapo akiwa ameambatana na polisi kike, akiwa amevaa miwani na kujitanda ushungi kwa lengo la kujificha.

Kufikishwa mahakamani kwa Wema kunatokana na taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii juu ya kukamatwa kwa msanii huyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!