Saturday , 4 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli, Kikwete wateta Ikulu
Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli, Kikwete wateta Ikulu

Rais John Magufuli akiwa na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete
Spread the love

RAIS John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dk. Jakaya Kikwete leo tarehe 23 Oktoba 2018 Ikulu jijini Dar es Salaam. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa, inaeleza kuwa Rais Magufuli na Dk. Kikwete wamekutana kwa utaratibu wa kawaida wa kusalimiana na kutakiana heri katika majukumu.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa, katika mazungumzo hayo Dk. Kikwete amesifu utendaji kazi wa Rais Magufuli na kumtaka aendelee hivyo hivyo, huku akiahidi kumpa ushirikiano wa hali na mali.

“Nimekuja kumsalimia na kumtakia kila la heri, anafanya kazi nzuri aendelee tu kuchapa kazi na sisi tupo kwa namna yoyote ya kumpa nguvu, tupo tayari kumsaidia,” amesema Dk. Kikwete.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga “HIDAYA” chaendelea kuimarika, wananchi wapewa tahadhari

Spread the loveMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa...

error: Content is protected !!