Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mabalozi watakaoacha kazi na kunywa wine, watakiona cha moto
Habari za Siasa

Mabalozi watakaoacha kazi na kunywa wine, watakiona cha moto

Spread the love

RAIS John Magufuli amewataka mabalozi wa Tanzania katika nchi za nje ambao hawajatumia vyema madaraka yao katika kuiletea nchi maendeleo, kujiandaa kurudi nyumbani. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Rais Magufuli ameyasema hayo katika hafla ya uapisho wa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Damas Ndumbaro iliyofanyika leo tarehe 29 Septemba 2018 Ikulu jijini Dar es Salaam.

Rais Maguguli amewataka mabalozi hao kuwa na desturi ya kuwasilisha ripoti kuhusu kazi walizofanya kwenye vituo vyao vya kazi.

“Mabalozi wa Tanzania walioko nje wawe wanaeleza wamefanya nini na kama hawajafanya kitu wajiandae kurudi,” amesema Rais Magufuli.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

error: Content is protected !!