Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kubenea: Michango ya MV Nyerere iwafikie waathirika
Habari za Siasa

Kubenea: Michango ya MV Nyerere iwafikie waathirika

Saed Kubenea, Mbunge wa Ubungo
Spread the love

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea, ameitaka serikali ifikishe kwa waathirika michango inayokusanya. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Kubenea ameyasema hayo kwenye mahojiano maalum na MwanaHALISI TV baada ya Serikali kupitia kwa Waziri Jenister Mhagama kutangaza kuwa imefungua akaunti benki kwa ajili ya kupokea michango toka kwa wasamaria wema.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

error: Content is protected !!