Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Maskini Mbowe! Yamemkuta tena
Habari za SiasaTangulizi

Maskini Mbowe! Yamemkuta tena

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema
Spread the love

SHIRIKA la Ugavi wa Umeme nchini (Tanesco) mkoani Kilimanjaro limekata umeme kwenye hoteli inayomilikiwa na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Taarifa zinaeleza kuwa, hoteli yake yenye jina la Aish imedaiwa kutumia umeme wa wizi na kusababishia Tanesco hasara ya zaidi ya Sh. 10 million.

Mahawa Mkaka, Meneja Tanesco Mkoa wa Kilimanjaro jana tarehe 14 Septemba, 2018 amesema, hoteli hiyo imejiunganishia umeme na kuharibu miundombinu.

Amesema, walipata taarifa ya wizi huo kutoka katika vyanzo vyao na baada ya uchunguzi wamebaini kuwepo kwa uharibifu na wizi huo.

Mpaka sasa wamiliki wa hoteli hiyo hawajazungumza kuhusu tuhuma hizo

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za SiasaTangulizi

Samia awataka watanzania kudumisha muungano

Spread the loveRais wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuendeleza Muungano kwa...

error: Content is protected !!