Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Maskini Mbowe! Yamemkuta tena
Habari za SiasaTangulizi

Maskini Mbowe! Yamemkuta tena

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema
Spread the love

SHIRIKA la Ugavi wa Umeme nchini (Tanesco) mkoani Kilimanjaro limekata umeme kwenye hoteli inayomilikiwa na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Taarifa zinaeleza kuwa, hoteli yake yenye jina la Aish imedaiwa kutumia umeme wa wizi na kusababishia Tanesco hasara ya zaidi ya Sh. 10 million.

Mahawa Mkaka, Meneja Tanesco Mkoa wa Kilimanjaro jana tarehe 14 Septemba, 2018 amesema, hoteli hiyo imejiunganishia umeme na kuharibu miundombinu.

Amesema, walipata taarifa ya wizi huo kutoka katika vyanzo vyao na baada ya uchunguzi wamebaini kuwepo kwa uharibifu na wizi huo.

Mpaka sasa wamiliki wa hoteli hiyo hawajazungumza kuhusu tuhuma hizo

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaTangulizi

Mapya yaibuka wamasai waliohamishwa Ngorongoro kwenda Msomera

Spread the loveMAPYA yameibuka kuhusu zoezi la Serikali kuwahamisha kwa hiari wamasai...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baba aomba msaada kuzika miili ya familia yake iliyofunga bila kula kuonana na Mungu

Spread the loveWAKATI Mamlaka nchini Kenya, ikiendelea kukabidhi miili ya watu waliofariki...

Habari za Siasa

Rais Samia ampongeza mpinzani aliyeshinda urais Senegal

Spread the loveRAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amempongeza mwanasiasa wa...

error: Content is protected !!