Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa ACT-Wazalendo waomba mkutano wa maridhiano
Habari za Siasa

ACT-Wazalendo waomba mkutano wa maridhiano

Spread the love

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali pamoja na wadau wa demokrasia nchini kuitisha mkutano wa kitaifa wa maridhiano ya kisiasa kwa ajili ya kujadili changamoto zinazokabili mfumo wa vyama vingi. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Wito huo umetolewa leo tarehe 15 Agosti, 2018 jijini Dar es Salaam na Dorothy Semu, Kaimu Katibu Mkuu wa ACT wakati akizungumza na wanahabari kuhusu matokeo ya uchaguzi mdogo uliofanyika hivi karibuni.

Semu amesema matokeo ya uchaguzi huo ambapo CCM ilishinda kwa asilimia mia, yameonyesha kwamba imefunga mlango wa wananchi kuchagua viongozi wa njia ya kidemokrasia, na hivyo si jambo jema kwa ustawi wa demokrasia.

“CCM ijue kuwa inapofunga mlango wa wananchi kuchagua viongozi kwa njia ya kidemokrasia, inafungua milango mingine ambayo inaweza kuitumbukiza nchi yetu kwenye machafuko,” amesema na kuongeza Semu.

Hili si jambo lenye afya kwa taifa.Uitishwe Mkutano wa Kitaifa wa maridhiano ya kisiasa ambapo changamoto

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

error: Content is protected !!