Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa ACT-Wazalendo waomba mkutano wa maridhiano
Habari za Siasa

ACT-Wazalendo waomba mkutano wa maridhiano

Spread the love

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali pamoja na wadau wa demokrasia nchini kuitisha mkutano wa kitaifa wa maridhiano ya kisiasa kwa ajili ya kujadili changamoto zinazokabili mfumo wa vyama vingi. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Wito huo umetolewa leo tarehe 15 Agosti, 2018 jijini Dar es Salaam na Dorothy Semu, Kaimu Katibu Mkuu wa ACT wakati akizungumza na wanahabari kuhusu matokeo ya uchaguzi mdogo uliofanyika hivi karibuni.

Semu amesema matokeo ya uchaguzi huo ambapo CCM ilishinda kwa asilimia mia, yameonyesha kwamba imefunga mlango wa wananchi kuchagua viongozi wa njia ya kidemokrasia, na hivyo si jambo jema kwa ustawi wa demokrasia.

“CCM ijue kuwa inapofunga mlango wa wananchi kuchagua viongozi kwa njia ya kidemokrasia, inafungua milango mingine ambayo inaweza kuitumbukiza nchi yetu kwenye machafuko,” amesema na kuongeza Semu.

Hili si jambo lenye afya kwa taifa.Uitishwe Mkutano wa Kitaifa wa maridhiano ya kisiasa ambapo changamoto

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Dk. Mwakyembe : Zanzibar waliongoza kutaka Serikali 2 za muungano

Spread the love  MWANASIASA mkongwe nchini, Dk. Harrison Mwakyembe, amesema mjadala wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

error: Content is protected !!