Friday , 29 September 2023
Home Gazeti Habari za Siasa ACT-Wazalendo waomba mkutano wa maridhiano
Habari za Siasa

ACT-Wazalendo waomba mkutano wa maridhiano

Spread the love

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali pamoja na wadau wa demokrasia nchini kuitisha mkutano wa kitaifa wa maridhiano ya kisiasa kwa ajili ya kujadili changamoto zinazokabili mfumo wa vyama vingi. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Wito huo umetolewa leo tarehe 15 Agosti, 2018 jijini Dar es Salaam na Dorothy Semu, Kaimu Katibu Mkuu wa ACT wakati akizungumza na wanahabari kuhusu matokeo ya uchaguzi mdogo uliofanyika hivi karibuni.

Semu amesema matokeo ya uchaguzi huo ambapo CCM ilishinda kwa asilimia mia, yameonyesha kwamba imefunga mlango wa wananchi kuchagua viongozi wa njia ya kidemokrasia, na hivyo si jambo jema kwa ustawi wa demokrasia.

“CCM ijue kuwa inapofunga mlango wa wananchi kuchagua viongozi kwa njia ya kidemokrasia, inafungua milango mingine ambayo inaweza kuitumbukiza nchi yetu kwenye machafuko,” amesema na kuongeza Semu.

Hili si jambo lenye afya kwa taifa.Uitishwe Mkutano wa Kitaifa wa maridhiano ya kisiasa ambapo changamoto

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari za Siasa

Mgongano wa kimasilahi wamhamisha Chande TTCL

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme: Rais Samia ampa miezi sita bosi mpya TANESCO

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amempa miezi sita Mkurugenzi...

Habari za Siasa

Rais Samia avunja bodi ya REA

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Jacob Kingu, kuwa...

error: Content is protected !!