Wednesday , 8 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mbowe na wenzake wafikishwa mahakamani Kisutu
Habari za SiasaTangulizi

Mbowe na wenzake wafikishwa mahakamani Kisutu

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema na viongozi wengine wakiwasili mahakamani
Spread the love

MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe na viongozi wengine wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusomewa mashtaka yanayowakabiri. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Viongozi hao walioripoti Kituo cha Polisi cha Kati jijini Dar es Salaam kama walivyotakiwa mapema leo, lakini walipofika waliondolewa dhamana na kuwekwa mahabusu.

Mchana huu viongozi hao akiwemo Mbowe na Katibu Mkuu Dkt. Mashinji,  Salum Mwalim, Msigwa, Mnyika na Esther Matiko wamefikishwa katika Mahakama ya Kisutu mchana huu baada ya kutolewa Kituo Kikuu cha Polisi walipokuwa wameshikiliwa. 

MwanaHALISI Online itaendelea kuwajulisha kinachoendelea mahakamani hapo

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Rais Samia ni Mzanzibari: Shida Iko Wapi?

Spread the loveTAIFA linakabiliwa na upungufu wa fikra sahihi. Upungufu huu unaonekana...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Mpina mwiba CCM, ahofia kuzibwa mdomo

Spread the loveWAKATI Chama cha Mapinduzi (CCM), kikijinasibu kuwa kinara wa demokrasia...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Mabeyo ametuepusha

Spread the loveNIMEGUSWA na uadilifu, utiifu na uaminifu wa Mkuu mstaafu wa...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaitaka TAKUKURU kuichunguza Chadema tuhuma alizoibua Lissu

Spread the loveCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana...

error: Content is protected !!