Tuesday , 30 April 2024
Home Habari Mchanganyiko ‘Watu wasiojulikana’ wamuibua  Mkuu wa Majeshi
Habari MchanganyikoTangulizi

‘Watu wasiojulikana’ wamuibua  Mkuu wa Majeshi

Venance Mabeyo, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania. Picha ndogo ni muonekano ya watu wasiojulikana
Spread the love

SAKATA la uvamizi na kupigwa risasi na watu wasiojulikana limemuibua Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Venance Mabeyo ambaye amesema vyombo vya dola vinaendelea na uchunguzi wa matukio hayo, anaandika Mwandishi Wetu.

Hivi karibuni kumekuwa na matukio mabaya ya uhalifu likiwamo la Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema),  ambaye amepigwa risasi zaidi ya 30  akiwa nyumbani kwake mjini Dodoma.

Tukio lingine ni lile la kupigwa risasi, Meja Jenerali mstaafu, Vincent Mribata akiwa nyumbani kwake jambo ambalo limemuibua Jenerali Mabeyo na kutoa kauli nzito.

Amesema watawasaka watu hao na watawakamata wote wanaohusika na vitendo hivyo  vya uhalifu na kuwaomba wananchi kuviachia vyombo vya dola vifanye kazi yao ili vitoe majibu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

Habari za SiasaTangulizi

Samia ataja miradi ambayo Tanzania inashirikiana na IDA

Spread the loveRais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu amehutubia...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

7 wafa Ulanga, mbunge alia kutelekezwa na mawaziri, Tanroad

Spread the loveWatoto saba wamepoteza maisha na zaidi ya kaya 70 kukosa...

Habari za SiasaTangulizi

Wizara Katiba na Sheria yaliomba Bunge Sh. 441.2 bilioni

Spread the love  WIZARA ya Katiba na Sheria imeliomba Bunge liidhinishe bajeti...

error: Content is protected !!