Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Trilioni 108/= za Acacia kitendawili
Habari MchanganyikoTangulizi

Trilioni 108/= za Acacia kitendawili

Spread the love

JUHUDI za serikali kutaka kampuni ya Acacia kulipa mabilioni ya shilingi inayodai imepunjwa, ziko hatarini kukwama, MwanaHALISI limeelezwa.

Taarifa kutoka serikalini na makao makuu ya kampuni ya Barrick Gold Mining yaliyoko Toronto nchini Canada zinasema, serikali ya Tanzania inakabiliwa na kibarua kigumu kuweza kulipwa fedha hizo.

“Ni vigumu serikali kulipwa fedha inazosema zimeibiwa au zimepunjwa na Barrick. Hii ni kutokana na kamati ya rais iliyoeleza kuwapo kwa wizi huo kutokubalika kwenye macho ya sheria za kimataifa na sheria zilizotumika nchini kufunga mikataba ya madini…..

Kwa habari kamili, jipatie nakala yako ya gazeti la MwanaHALISI, toleo la Jumatatu 19 Juni, 2017.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!