Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Trilioni 108/= za Acacia kitendawili
Habari MchanganyikoTangulizi

Trilioni 108/= za Acacia kitendawili

Spread the love

JUHUDI za serikali kutaka kampuni ya Acacia kulipa mabilioni ya shilingi inayodai imepunjwa, ziko hatarini kukwama, MwanaHALISI limeelezwa.

Taarifa kutoka serikalini na makao makuu ya kampuni ya Barrick Gold Mining yaliyoko Toronto nchini Canada zinasema, serikali ya Tanzania inakabiliwa na kibarua kigumu kuweza kulipwa fedha hizo.

“Ni vigumu serikali kulipwa fedha inazosema zimeibiwa au zimepunjwa na Barrick. Hii ni kutokana na kamati ya rais iliyoeleza kuwapo kwa wizi huo kutokubalika kwenye macho ya sheria za kimataifa na sheria zilizotumika nchini kufunga mikataba ya madini…..

Kwa habari kamili, jipatie nakala yako ya gazeti la MwanaHALISI, toleo la Jumatatu 19 Juni, 2017.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

error: Content is protected !!