Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Ander Herrera kutembelea Tanzania
Michezo

Ander Herrera kutembelea Tanzania

Ander Herrera
Spread the love

KIUNGO wa Manchester United na  Hispania, Ander Herrera anatarajiwa kutembelea nchi mbili zilizopo kwenye Ukanda wa Afrika ya Mashariki ikiwemo Tanzania bila kuweka wazi sababu zitakazomfanya kuja  wala kutaja muda gani atakaotua nchini.

Herrera ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandao wake wa Twitter baada ya kuulizwa swali na moja ya mashabiki zake, Je ni sehemu gani ya dunia unayopenda kutembea na lakini haujawahi kuwa awali?

Kiungo huyo alitaja nchi nne ambazo ana mpango wa kuzitembelea kwa siku za hivi karibuni lakini katika Ukanda wa Afrika Mashariki anatamani kutembelea Kenya na Tanzania, na nyingine zikitokea America ambazo ni Colombia na Argentina.

https://twitter.com/AnderHerrera/status/817456499417055232

Tamaa ya mchezaji huyo kuja nchini, huwenda ikawa imechagizwa na ziara iliyofanywa na magwiji wa klabu ya FC Barcelona waliokuja nchini Machi 28, 2015 na kutembelea vivutio vya ndani baada ya kucheza mchezo katika uwanja wa Taifa dhidi ya Maveterani wa Tanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!