TUNDU Lissu, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema, ameachiwa na Jeshi la Polisi nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)
Lissu alikamatwa leo Jioni Jumatatu tarehe 2 Novemba 2020 akiwa anatoka Ofisa za Umoja wa Ulaya zilizopo Posta jijini Dar es Salaam.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa alisema walimkamata kwa ajili ya mahojiano.
Katika mtandao wa Twitter wa Chadema wameandika “Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. Tundu Lissu ameachiwa na Jeshi la Polisi baada ya kumuhoji kwa zaidi ya masaa mawili.”
Balozi kadha jijini zimetoa matamshi kuhusu UCHAGUZI
SIJAONA HATA GAZETIO MOJA LIMETOA HABARI HIZO
Vyombo vya habari vinahofia kushughulikiwa kikamilifu na dola iwapo zingetoa habari hizo za matamko……
Tumezoea kusikia udikteta wa Mseven dhidi ya Kiiza Besje, Burundi Rwanda nk, nasi yametufika, siendelei kusema nisije__