Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Maisha Afya Milioni 18 wapona corona dunia
Afya

Milioni 18 wapona corona dunia

Spread the love
MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19) duniani yamefikia milioni 26.18, waliopona milioni 18.44 na waliofariki kutokana na ugonjwa huo ni 867,370. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea)

Mtandao wa worldometer unaonyesha leo Alhamisi tarehe 3 Septemba 2020 Marekani inaongoza kwa kuwa na maambukizo milioni 6.29, waliopona milioni 3.54 na waliofariki 189,964.

Brazil inashika nafasi ya pili kwa kuwa na maambukizo milioni 4, waliofariki dunia 123,899 na waliopona milioni 3.2.

China ambako corona ilianzia mwishoni mwa mwaka 2019, inashika nafasi ya 38 ikiwa na maambukizo 85.077 na waliofariki dunia kutokana na ugonjwa huo ni 4,634 na waliopona ni 80,251.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Afya

Mloganzila yajipanga kupandikizaji wa ini

Spread the love  HOSPITALI ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imesema kutokana na uwekezaji uliofanywa...

AfyaHabari za Siasa

Serikali yasaka watumishi afya ngazi ya jamii 8,900

Spread the loveSERIKALI imeanza utekelezaji wa mpango jumuishi wa wahudumu wa afya...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Bima ya afya kwa wote kuanza Aprili, wajane kicheko

Spread the loveSHERIA ya Bima ya Afya kwa Wote, inatarajiwa kuanza kutumika...

AfyaHabari Mchanganyiko

Marekani kuipa Tanzania bilioni 980 kudhibiti VVU, UKIMWI

Spread the loveSERIKALI ya Tanzania inatarajiwa kupewa msaada wa fedha kiasi cha...

error: Content is protected !!