Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Lissu, Kubenea kuchuana umakamu mwenyekiti Chadema
Habari za SiasaTangulizi

Lissu, Kubenea kuchuana umakamu mwenyekiti Chadema

Spread the love

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Saed Kubenea, Mbunge wa Ubungo, wamejitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania umakamu mwenyekiti wa chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Lissu amechukua na kurejesha fomu ya kugombea umakamu uenyekiti, leo tarehe 30 Novemba 2019, kwa njia ya mtandao, wakati Kubenea akirejesha fomo hiyo katika Ofisi za Chadema, Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Uchaguzi wa viongozi wa Chadema unatarajiwa kufanyika, tarehe 18 Desemba 2019.

Na leo Jumamosi, ndio mwisho kwa wanachama wa Chadema wanaotaka kugombea nafasi hizo, kurudisha fomu zao kugombea.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!