Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Godbless Lema aitikia wito wa polisi
Habari za Siasa

Godbless Lema aitikia wito wa polisi

Godbless Lema, Mbunge wa Arusha Mjini
Spread the love

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema ameitikia wito wa Jeshi la Polisi uliomtaka kuwasili katika Kituo Kikuu cha Polisi Arusha bila kukosa. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Lema amewasili katika ofisi ya Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, SACP Kamanda Ramadhan Ng’azi leo tarehe 22 Oktoba 2018.

Lema amewasili kituoni hapo kwa ajili ya kufanyiwa mahojiano ambayo hadi sasa haijawekwa wazi kusudi la mahojiano hayo.

Taarifa za Lema kuitwa na Jeshi la Polisi alizitoa mwenyewe jana katika akaunti yake ya Twitter, akisema kuwa amepigiwa simu na polisi akitakiwa kuripoti Kituo Kikuu cha Polisi Arusha bila kukosa, bila ya kuelezwa sababu ya wito huo wa lazima.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!