Saturday , 27 April 2024

Day: October 17, 2020

Habari za Siasa

Kikwete: JPM amewazima midomo wapinzani ajenda ya rushwa

MWENYEKITI mstaafu Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Mrisho Kikwete amesema, Rais wa Tanzania anayemaliza muda wake, John Magufuli amewazima midomo wapinzani juu ya...

Michezo

Liverpool yabanwa mbavu

BINGWA mtetezi wa Ligi Kuu nchini England klabu ya Liverpool imelazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Everton kwenye mchezo wa Ligi nchini...

Habari za Siasa

Wanakijiji waapa kumchagua diwani aliyeanza kutatua kero

WANAKIJIJI wa kijiji cha Mkono wa Mara kata ya Mkambarani, Morogoro wamesema watamchagua mgombea udiwani wa kata hiyo Charles Mboma kupitia Chama Cha...

Habari za Siasa

Lissu: Magufuli hakujiandaa kwa uchaguzi

MGOMBEA Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amesema, mpinzani wake wa karibu Dk. John Magufuli, anayegombea nafasi...

Habari za Siasa

Samia awanyooshea kidole watendaji kero za muungano

MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kero za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zinachelewa kutatuliwa kutokana na uzembe wa watendaji...

Habari za Siasa

Lissu kufunga kazi Dar, Magufuli Dodoma

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imetoa ratiba ya mwisho ya lala salama ya kampeni za wagombea urais katika Uchaguzi Mkuu...

Habari za Siasa

Hoja tano za muungano Tanzania zafutwa

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefuta hoja tano za muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizopatiwa ufumbuzi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za Siasa

Mbatia apinga kufungiwa, kuendelea na kampeni

JAMES Mbatia, Mgombea Ubunge wa Vunjo Mkoa wa Kilimanjaro kupitia NCCR-Mageuzi, ameupinga uamuzi uliotolewa na Kamati ya Maadili Jimbo hilo wa kumfungia kwa...

error: Content is protected !!