Friday , 26 April 2024

Day: April 25, 2019

Habari za Siasa

Sherehe za Muungazo zapigwa ‘stop’

SERIKALI imesitisha sherehe za kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 55 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Hayo amesema Waziri...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Zitto: Polisi akiri mauaji Uvinza

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imeendelea kusikiliza kesi Na 327 ya 2018 ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Kigoma Mjini...

Afya

Tahadhari ugonjwa wa surua yatolewa

WATANZANIA wametahadharishwa kuhusu mlipuko wa magonjwa ya kuambukiza kwa watoto ukiwemo ugonjwa wa surua, unaotajwa kuanza kuathiri nchi jirani. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Akizungumzia maadhimisho...

Habari za SiasaTangulizi

Ripoti ya CAG: Zitto amvuruga Spika Ndugai

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai, anamtuhumu Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Zuberi Kabwe, kujitafutia umaarufu wa kisiasa, kupitia Ripoti ya Mkaguzi na...

Habari Mchanganyiko

Laini za simu kuzimwa Desemba 31

WATU ambao hawatasajili laini zao za simu kwa alama za vidole, hawatoweza kuzitumia baada ya tarehe 31 Desemba 2019. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwakyembe ang’ang’aniwa kila kona

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, ametakiwa kujizuia kutoa kauli za kejeli, dhidi ya watu wanaotafuta taarifa za mahali...

error: Content is protected !!