Tuesday , 19 March 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Wanafunzi UDSM waandamana
Elimu

Wanafunzi UDSM waandamana

Spread the love

WANAFUNZI Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wameandamana usiku huu kutoka kampasi kuu ya Mlimani mpaka mabweni ya Mabibo, wakisherekea ushindi wa rais wao mpya. Anaripoti Charles William … (endelea).

Nhonya Haroun Stanley ndiye rais mteule wa Serikali ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, DARUSO ambapo amechaguliwa katika uchaguzi uliofanyika leo Jumatano chuoni hapo.

Haroun amewaangusha wapinzani wake Frank Isack na Matulanya Evarist katika uchaguzi uliojaa mvutano mkali huku Loveness Nkya akimuangusha Suzan Zabron katika nafasi ya makamu wa rais wao DARUSO.

Zaidi ya wanafunzi 5,000 walijitokeza kupiga kura.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanawake GGML wawanoa wanafunzi Kalangalala Sec. kujitambua

Spread the loveKATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Umoja wa...

ElimuHabari Mchanganyiko

RC Songwe ang’aka kesi 2 kati ya 60 za mafataki kuamuliwa

Spread the loveMkuu wa mkoa wa Songwe Dk. Fransis Michael ameshangazwa na...

Elimu

Takukuru wambana Mwalimu mkuu, atema bungo

Spread the loveMwalimu Mkuu wa shule msingi Hanihani, kata ya Igunga wilayani...

error: Content is protected !!