Tuesday , 5 December 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Katibu wa Bunge aficha sababu za Ghasia kujiuzuru
Habari za Siasa

Katibu wa Bunge aficha sababu za Ghasia kujiuzuru

Spread the love

HAWA Ghasia, Mbunge wa Mtwara Vijijini kupitia CCM, amejiuzulu uenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti leo tarehe 28 Agosti, 2018. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Vilevile, Jitu Soni, Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo pia amejiuzulu wadhifa huo.

Taarifa hizo zimethibitishwa na Stephen Kagaigai, Katibu wa Bunge alipozungumza na mtandao huu kwa njia ya simu.

Hata hivyo, Kagaigai hakutaka kuzungumzia sababu zilizopelekea viongozi hao kujiuzulu zaidi ya kusema kwamba Bunge lina taarifa za kujiuzulu kwao.

MwanaHALISI Online ilimtafuta Hawa Ghasia kwa njia ya simu kwa ajili ya kutaka kupata ufafanuzi wa sababu za kujiuzulu kwake, hakupokea simu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Baba yake Ole Sabaya ashinda Uenyekiti CCM – Arusha

Spread the loveLoy Thomas Sabaya ambaye ni Baba wa aliyekuwa Mkuu wa...

Habari za Siasa

Serikali yaagiza uchunguzi chanzo maporomoko Hanang

Spread the loveSERIKALI imeagiza uchunguzi ufanyike ili kubaini chanzo cha maporomoko ya...

Habari za SiasaTangulizi

Maafa Manyara: Rais Samia akatisha ziara yake Dubai

Spread the loveRAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amekatisha ziara yake...

Habari za SiasaTangulizi

Wataalaam wa miamba watua Hanang

Spread the loveWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na...

error: Content is protected !!