Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Channel za ndani kurudi kwenye ving’amuzi wiki ijayo
Habari Mchanganyiko

Channel za ndani kurudi kwenye ving’amuzi wiki ijayo

Spread the love

CHANELI za ndani kuanza kuoneshwa bure katika visimbuzi kuanzia tarehe 5 Septemba, 2018. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Hayo yamesemwa leo tarehe 28 Agosti, 2018 na Dk. Harrison Mwakyembe Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakati akizungumza na wanahabari kuhusu maazimio yaliyotolewa katika kikao chake na wadau pamoja na wamiliki wa televisheni nchini.

Dk. Mwakyembe amesema kuanzia tarehe 5 Septemba mwaka huu visimbuzi vitaanza kuonesha channeli zote za ndani bila kutoza gharama yoyote kwa mtazamaji.

Naye Dk. Hassan Abbasi, Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, amesema kuwa serikali imefikia uamuzi huo baada ya visimbuzi vya AZAM, ZUKU na DSTV kutoonesha channeli za ndani, kulingana na aina ya leseni zao.

Kwa upande wa wamiliki wa televisheni, Dk. Abbasi amesema wameridhishwa na hatua hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!