Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kambi ya Lipumba yapata ajali, wanne wafariki
Habari za SiasaTangulizi

Kambi ya Lipumba yapata ajali, wanne wafariki

Spread the love

WAFUASI wanne wa Chama cha Wananchi wamefariki katika ajali iliyotokea leo alfajili waliokuwa wakitoka kwenye sherehe za kuapishwa kwa wabunge wanane wa CUF, anaandika Faki Sosi.

Wafuasi hao wanaodaiwa kutoka Tanga walikuwa wakisafiri kutoka Dodoma kurudi Tanga ambapo walikumbwa ajali hiyo iliyojeruhi sita.

Ajari hiyo imetokea Mwidu karibu na Ubena mkoani Morogoro.

MwanaHALISI Online itakuletea taarifa kamili muda mfupi ujao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!