Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Dk. Slaa: Sitarudi nyuma, nimetimiza wajibu wangu
Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Sitarudi nyuma, nimetimiza wajibu wangu

Spread the love

 

BALOZI Dk. Willibroad Slaa leo Ijumaa amesema kitendo cha polisi kumkamata kinguvu tarehe 13 Agosti 2023 kisha kutuhumiwa kwa uhaini, hakitamrejesha nyuma katika jitihada zake za kutetea rasilimali za Taifa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Akizungumza nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es Salaam baada ya kuachiwa kwa dhamana amesema; “Wasifikirie kitendo cha kunichukua siki ile kwa nguvu kama kitanirejesha nyuma kushiriki na watanzania wenzangu kujadili rasilimali zetu sitarudi nyuma.

“Ninachojua nimetimiza wajibu wangu wa kikatiba ya kupiga kelele juu ya rasilimali kama ni kosa basi hatuna Katiba itakuwa ni karatasi tu…sitashaanga Katiba hii kuvunjwa kwani imekuwa ikivunjwa kila siku,” amesema na kuongeza;

“Kama Bunge halisemi haya sisi tutayasemea …kama wabunge tuliowachagua hawatekelezi wajibu wao hata wakituita wachochezi kama kutuweka jela watuweke tu. Afadhali uhukumiwe duniani kuliko kuhukumiwa mbinguni.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za SiasaTangulizi

Samia awataka watanzania kudumisha muungano

Spread the loveRais wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuendeleza Muungano kwa...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

error: Content is protected !!