Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Balozi Mahiga awatwisha mzigo maofisa wake
Habari za Siasa

Balozi Mahiga awatwisha mzigo maofisa wake

Balozi Augustine Mahiga, Waziri wa Katiba na Sheria
Spread the love

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Augustine Mahiga amewahimiza maafisa wa wizara yake waliopo nje ya nchi kutafuta wawekezaji, ili waje kuwekeza Tanzania. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Balzi Mahiga ametoa agizo hili katika hafla za uzinduzi wa hati za kusafiria na vibali vya ukaazi kwa njia ya kielektroniki (E-VISA & E-PERMIT), ambapo amewataka maafisa hao kujitahidi katika hilo ili kusaidia jitihada za serikali za kufikia uchumi wa viwanda.

Kuhusu uzinduzi wa visa na vibali vya ukaazi kwa njia ya kielektroniki, Balozi Mahiga amesema mfumo huo mpya utarahisisha Tanzania kupata wawekezaji wengi.

Balozi Mahiga ameagiza utaratibu wa ukaguzi wa wageni wanaoingia nchini hasa watalii ufanyike kwa njia rafiki ili kuondoa malalamiko.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!