Tuesday , 21 May 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu
ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Spread the love

Naibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), Ridhiwani Kikwete amesema katika mwaka huu wa fedha unaoishia 2023/2024, Serikali imepanga kupandisha madaraja kwa mserereko walimu 52,551. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Amesema hatua hiyo imefikiwa baada ya walimu hao kutimiza vigezo kwa mujibu wa uchambuzi na uhakiki ambao umekamilika.

Kikwete ametoa kauli hiyo leo Jumatano bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Ngara, Ndaisaba Ruhuro (CCM) aliyehoji mpango wa wa kupandisha madaraja msrereko walimu wenye changamoto ya kupandishwa madaraja wakiwemo wa Ngara.

Akijibu swali hilo, Kikwete amesema kwa upande wa Halmashauri ya Ngara, walimu 148 ambao wametimiza vigeo watapandishwa.

5 Comments

  • Nampongeza mama na Raise Samia kwa namna anavyotujali wafanyakazi.Deni letu kwake ni kufanya kazi kwa bidii na weredi.

  • Let it be yes and not politics as usual,just imagine it’s almost ten years of poor promotions and salary increase after the retire of president JAKAYA MRISHO KIKWETE he was the hope of workers for sure .May PRESIDENT SAMIA SULUHU HASAN follow his steps back ,I’m sure she will ,as she has started to work upon many workers problems that has made them workers to suffer a lot .

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaElimu

Benki ya Exim yazindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’

Spread the love  KATIKA juhudi za kuboresha teknolojia za kidijitali katika sekta...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yanawa mikono fidia Kimara-Kibamba

Spread the loveSERIKALI imewataka waathiriwa wa bomoabomoa ya upanuzi wa barabara ya...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Geita, Mwanza waongoza kwa mbwa

Spread the loveNaibu waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti amesema taarifa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Watumishi 25,039, taasisi 65 wahamia Dodoma

Spread the loveSerikali imesema hadi sasa, jumla ya watumishi 25,039 kutoka Serikali...

error: Content is protected !!