Sunday , 12 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Saba wadakwa na kilo 3,182 za ‘unga’
Habari Mchanganyiko

Saba wadakwa na kilo 3,182 za ‘unga’

Spread the love

WATU saba wakiwemo wawili raia kutoka barani Asia, wanashikiliwa na vyombo vya ulinzi na usalama kwa tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Taarifa hiyo imetolewa leo tarehe 27 Disemba 2023 na Kamisheni Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini (DCEA), Aretas Lyimo, akitaja ripoti ya operesheni iliyofanywa na mamlaka hiyo kuanzia tarehe 5 hadi 23 Disemba mwaka huu, kwenye mikoa ya Dar es Salaam na Iringa.

Jenerali Lyimo amesema mbali na watu hao kukamatwa, DCEA ilifanikiwa kukamata kilo zaidi ya 3,182 za dawa za kulevya aina ya Heroin na Metamphetamine.

Amesema endapo dawa hizo za kulevya zisingekamatwa zingesambaa mitaani na kuleta madhara ya kiafya kwa wananchi hususan vijana.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Dk. Biteko: Serikali itaendelea kushirikiana na Red Cross

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Dk.Mpango aagiza trafki kuvaa makoti ya kamera kudhibiti rushwa

Spread the loveMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk....

BiasharaHabari Mchanganyiko

PPAA yajipanga kuwanoa wazabuni namna kuwasilisha rufaa kieletroniki

Spread the loveIli kukabiliana na mageuzi yaliyofanyika katika Sheria mpya ya Ununuzi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Vijana UVCCM Kagera wataka mwenyekiti wao ajiuzulu

Spread the loveVIJANA wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera wamemtaka Mwenyekiti...

error: Content is protected !!