Sunday , 12 May 2024
Home Kitengo Biashara Infinix yawafikia wateja wa simu yao mpya na punguzo la bei
Biashara

Infinix yawafikia wateja wa simu yao mpya na punguzo la bei

Spread the love

KWMPUNI ya simu za mkononi Infinix Tanzania inaendelezashangwe kwa wateja wake, Infinix ilianza kwa uzinduzi wapromosheni za Christmass mwanzoni mwa mwezi huu, hawajaishia hapo majuzi walizindua na promosheni ya simuyao mpya ya HOT 40 pro na HOT 40i, kwa mujibu wa taarifakutoka @infinixmobiletz inasema HOT 40 pro kuuzwa kwakiasi cha shillingi 550,000 katika kipindi hiki cha sikukuu nabaada ya hapo itarejea katika bei yake ya shilling 580,000.

Kwa mujibu wa Ofisa Uhusiano wa Infinix, Aisha Karupa hiyo ni moja ya desturi yetu kuwapa wateja wetu matoleomapya katika promosheni zetu pamoja na mapunguzo ya beilakini pia zawadi ni nyingi.

Karupa alisema Infinix imekuandalia zawadi zenye thamanihadi ya Shilingi Milioni 3 zikiwemo na zawadi nyingine kamavile laptop, vocha za manunuzi zenye thamani ya shilingi100,000 na zawadi za papo hapo.

Matoleo ya simu ambayo yapo kwenye promosheni hii niInfinix HOT 40 Series, Zero 30 Series, Note 30 Series, Hot 30 Series na Smart 8 Series kama wewe ni mfuatiliaji wa karibuutabaini kwamba haya yote ni matoleo mapya ya mwaka huuna kila moja lilifanya vizuri kutokana na upekee wake, mfanomzuri ni NOTE 30 VIP inaendelea kufanya vizuri kutokana nateknolojia ya kisasa ya fast chaji simu hii ina watt 68 ya fast chaji na watt 50 ya wireless chaji.

HOT 40 Series ambayo imezinduliwa hapa juzi ni gumzo kwasasa ikipewa sifa kubwa ya kiprocessor aina ya MediatekHelio G99 kuwa na kasi ya kuendesha application za games na nyinginezo pasipo simu kupatwa na joto.

Promosheni hizi ni kwa nchi nzima tembelea@infinixmobiletz kwa habari zaidi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Biashara

Meridianbet yatoa msaada Kigamboni siku ya Mama Duniani

Spread the loveMABIBGWA wa michezo ya kubashiri kampuni yaMeridianbet imefika kigamboni leo siku...

BiasharaHabari Mchanganyiko

PPAA yajipanga kuwanoa wazabuni namna kuwasilisha rufaa kieletroniki

Spread the loveIli kukabiliana na mageuzi yaliyofanyika katika Sheria mpya ya Ununuzi...

Biashara

Meridianbet kasino yaja na promo ya mil 200/=

Spread the love  Kimbunga Hidaya kilikuja na madhara makubwa sana katika maeneo...

Biashara

Moon of Thoth, historia ya Misri ya kale ilipofichwa ndani ya kasino

Spread the love  Nchi ya Misri imebeba karibia asilimia kubwa ya mambo...

error: Content is protected !!