Saturday , 18 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Dk. Biteko: Tumsaidie Rais Samia kujenga nchi
Habari za Siasa

Dk. Biteko: Tumsaidie Rais Samia kujenga nchi

Spread the love

Ujumbe wa Marafiki waliosoma na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ukiongozwa na Mbunge wa Hai, Saashisha Mafuwe umetoa pongezi kwa Dk. Biteko kwa kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea).

Wametoa pongezi hizo leo tarehe 3 Novemba 2023 katika ukumbi wa Bunge jijini Dodoma ikiwa ni pamoja na kumtakia heri katika majukumu yake mapya ambapo wamesisitiza kuunga mkono juhudi za Serikali.

Kwa upande wake, Dk. Biteko amewashukuru kwa kumtakia heri na kuwataka kufanya kazi kwa bidii ili azma ya Rais Samia itimie katika kujenga uchumi wa nchi na Watanzania wanufaike.

Ujumbe huo ni wanafunzi waliosoma Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine Mwanza (SAUT) na marafiki wengine waliosoma maeneo mbalimbali nchini.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Lissu akabidhiwa gari lake, aomba msaada wa matengenezo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu leo Ijumaa amekabidhiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Haya hapa majina walioteuliwa kugombea nafasi mbalimbali CHADEMA

Spread the loveCHAGUZI wa kanda za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Uingereza yamwaga bil. 9 kumuunga mkono Samia matumizi nishati

Spread the loveWaziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Selemani...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe abadili mbinu ya kudai Katiba mpya

Spread the loveMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia (Chadema), Fremaan Mbowe amebadili mbinu...

error: Content is protected !!