Saturday , 18 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kikao cha Bunge chaahirishwa ghafla
Habari za SiasaTangulizi

Kikao cha Bunge chaahirishwa ghafla

Spread the love

KIKAO cha Bunge kilichokuwa kinaendelea leo Jumanne, tarehe 27 Juni 2023, kimeahirishwa ghafla baada ya kutokea dharura. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea).

Kikao hicho cha 56 cha mkutano wa 11 wa Bunge la 12, kimeahirishwa na Spika Dk. Tulia Ackson, baada ya kengele ya dharura kulia wakati Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya, anajibu maswali ya wabunge.

Spika Dk. Tulia Ackson

Baada ya kengele hiyo kulia, Spika Tulia alimkatisha Mhandisi Kasekenya, na kuwaelekeza wabunge watoke nje ya ukumbi wa bunge hadi dharura hiyo itakapopatiwa ufumbuzi.

“Naibu waziri na wabunge nadhani hiyo inaashiria tutoke humu ndani kwa haraka, kila mtu afuate mlango ulio karibu yake haraka tutoke. Sote twende sehemu ile ya kukusanyika watu, naahirisha mpaka jambo hili litakaporekebishwa,” amesema Spika Tulia.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Lissu akabidhiwa gari lake, aomba msaada wa matengenezo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu leo Ijumaa amekabidhiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Haya hapa majina walioteuliwa kugombea nafasi mbalimbali CHADEMA

Spread the loveCHAGUZI wa kanda za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Uingereza yamwaga bil. 9 kumuunga mkono Samia matumizi nishati

Spread the loveWaziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Selemani...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe abadili mbinu ya kudai Katiba mpya

Spread the loveMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia (Chadema), Fremaan Mbowe amebadili mbinu...

error: Content is protected !!