Wednesday , 1 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Samia ampandisha cheo RPC wa Dar
Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia ampandisha cheo RPC wa Dar

Spread the love

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, amempandisha cheo Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar ea Salaam (RPC), Jumanne Muliro kuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizj wa Polisi (SACP). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumamosi na Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, SACP David Misime, uteuzi wa Kamanda Muliro, aliyekuwa Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), amepandishwa cheo kuanzia tarehe 20 Februari 2022.

“Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camillus M.Wambura anapenda kuwajulisha kuwa Dk. Samia Suluhu Hassan ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,” imesema taarifa hiyo na kuongeza:

“Amempandisha cheo Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Muliro Jumanne Muliro kuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP).

Amepandishwa cheo hicho kuanzia tarehe 20 Februari 2023.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Habari Mchanganyiko

TMA yapongezwa kuimarisha ubora na usahihi wa taarifa za Hali ya Hewa

Spread the love  WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA),...

error: Content is protected !!