Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Chama, Aziz Ki wafungiwa, Yanga wapigwa faini milioni 5
Michezo

Chama, Aziz Ki wafungiwa, Yanga wapigwa faini milioni 5

Spread the love

 

VIUNGO washambuliaji Clatous Chama raia wa Zambia (Simba) na Stephane Aziz Ki raia wa Burkina Faso (Yanga), wamefungiwa mechi tatu kila mmoja kwa makosa ya kukwepa kusalimiana na wachezaji wa timu pinzani kabla ya kuanza kwa mechi kati ya Simba na Yanga uliopigwa tarehe 23 Oktoba, 2022.

Pia timu ya Yanga imetozwa faini ya Sh milioni tano kila moja kwa kosa la kuingia chumba cha kuvalia kupitia mlango usio rasmi kuelekea mchezo huo uliofanyika kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Jumamosi ya leo ni ya pesa tu kutoka Meridianbet

Spread the love  IKIWA leo hii ni Jumamosi nyingine na tulivu kabisa,...

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

error: Content is protected !!