Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo Chama, Aziz Ki wafungiwa, Yanga wapigwa faini milioni 5
Michezo

Chama, Aziz Ki wafungiwa, Yanga wapigwa faini milioni 5

Spread the love

 

VIUNGO washambuliaji Clatous Chama raia wa Zambia (Simba) na Stephane Aziz Ki raia wa Burkina Faso (Yanga), wamefungiwa mechi tatu kila mmoja kwa makosa ya kukwepa kusalimiana na wachezaji wa timu pinzani kabla ya kuanza kwa mechi kati ya Simba na Yanga uliopigwa tarehe 23 Oktoba, 2022.

Pia timu ya Yanga imetozwa faini ya Sh milioni tano kila moja kwa kosa la kuingia chumba cha kuvalia kupitia mlango usio rasmi kuelekea mchezo huo uliofanyika kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!