Friday , 17 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Dk. Mpango ahudhuria mkutano wa Mapinduzi ya Kijani Afrika
Habari za Siasa

Dk. Mpango ahudhuria mkutano wa Mapinduzi ya Kijani Afrika

Spread the love

 

MAKAMU Rais Dk. Philip Mpango leo tarehe 5 Septemba, 2022, amewasili Kigali nchini Rwanda Kumwakilisha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa Mapinduzi ya Kijani Barani Afrika mwaka 2022. Anaripoti Juliana Assenga, UDSM … (endelea).

Mkutano huo wa wapinduzi ya kijani Barani Afrika (AGRF 2022) unatarajiwa kufanyika kesho tarehe 6 septemba 2022 ukiwa na lengo mahususi la kujadili hatua madhubuti kwa ajili ya mifumo ya chakula inayostahimili.

Mkutano huo pia utashirikisha wakuu wa Nchi na serikali kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika, viongozi wa Taasisi na Jumuiya za kimataifa pamoja na wadau wote wa kilimo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Udhibiti wa serikali wakera asasi za kiraia

Spread the loveBaadhi ya wadau wa demokrasia na viongozi wa asasi za...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Nape aomba bajeti ‘kiduchu’ kwa mwaka 2024/25

Spread the loveWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Seneta: Wanasiasa hawasaidii mchakato wa Katiba mpya

Spread the loveSeneta wa jimbo la Busia, nchini Kenya, Okiya Okoiti Andrew...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

ACT-Wazalendo yasusia uchaguzi wa ubunge Zanzibar

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo, kimegoma kushiriki uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo...

error: Content is protected !!