Friday , 3 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Serikali yawataka mawakili wasikwamishe uendeshaji kesi
Habari Mchanganyiko

Serikali yawataka mawakili wasikwamishe uendeshaji kesi

Spread the love

NAIBU Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Evaristo Longopa, amewataka mawakili kutokuwa chanzo cha kukwamisha uendeshaji mashauri, ili haki itendeke kwa wakati. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea).

Dk. Longopa ametoa maagizo hayo leo Ijumaa, tarehe 8 Julai 2022, katika hafla ya kukukubali kuwapokea mawakili wapya zaidi ya 300, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

“Ndugu zangu mawakili ninyi mnapaswa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu na mhakikishe kwamba haki inatendekea, msiwe chanzo cha kusababisha mashauri kutokamilika kwa kuomba maahirisho yasiyokuwa na sababu ili haki ipatikane kwa wakati,” amesema Dk. Longopa na kuongeza:

“Na msiicheleweshe haki, nawatakia majumu mema naamini mtakuwa mawakili wema na wenye maadili ili tasnia yetu ya sheria iendelee kuheshimika.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

RPC Dodoma akabidhiwa bunduki mbili za wahalifu

Spread the love  Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa ya Kulevya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yazindua huduma maalum kwa wastaafu

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua huduma maalum kwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yazindua akaunti ya Kikundi

Spread the loveBenki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi yenye  maboresho makubwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyakazi waidai STAMICO mishahara ya bilioni 1

Spread the loveWALIOKUWA wafanyakazi wa mgodi wa Shirika la Madini la Taifa...

error: Content is protected !!