Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Askofu Gwajima: Ipo siku tutapata Rais wa ajabu
Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima: Ipo siku tutapata Rais wa ajabu

Josephat Gwajima, Mbunge wa Jimbo la Kawe (CCM)
Spread the love

 

MBUNGE wa Kawe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Askofu Joseph Gwajima ameshauri kuanzishwa kwa Dira ya Taifa ili kuwezesha kiongozi yoyote anayeingia madarakani asitumie mawazo yake peke yake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Gwajima ambaye ni Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, amesema hayo leo Jumatatu tarehe 11 Aprili 2022, bungeni jijini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Fungu la Bunge kwa mwaka 2022/23.

Askofu Gwajima amesema, bila kuwa na dira ya Taifa, “ipo siku, kama tutaruhusu anayeingia madarakani aongozwe na kichwa chake, ipo siku tutapata Rais wa ajabu.”

Fuatilia mchango wote wa Askofu Gwajima kupitia MwanaHALISI TV

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za SiasaTangulizi

Samia awataka watanzania kudumisha muungano

Spread the loveRais wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuendeleza Muungano kwa...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

error: Content is protected !!