Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Askofu Gwajima: Ipo siku tutapata Rais wa ajabu
Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima: Ipo siku tutapata Rais wa ajabu

Josephat Gwajima, Mbunge wa Jimbo la Kawe (CCM)
Spread the love

 

MBUNGE wa Kawe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Askofu Joseph Gwajima ameshauri kuanzishwa kwa Dira ya Taifa ili kuwezesha kiongozi yoyote anayeingia madarakani asitumie mawazo yake peke yake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Gwajima ambaye ni Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, amesema hayo leo Jumatatu tarehe 11 Aprili 2022, bungeni jijini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Fungu la Bunge kwa mwaka 2022/23.

Askofu Gwajima amesema, bila kuwa na dira ya Taifa, “ipo siku, kama tutaruhusu anayeingia madarakani aongozwe na kichwa chake, ipo siku tutapata Rais wa ajabu.”

Fuatilia mchango wote wa Askofu Gwajima kupitia MwanaHALISI TV

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaTangulizi

Mapya yaibuka wamasai waliohamishwa Ngorongoro kwenda Msomera

Spread the loveMAPYA yameibuka kuhusu zoezi la Serikali kuwahamisha kwa hiari wamasai...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baba aomba msaada kuzika miili ya familia yake iliyofunga bila kula kuonana na Mungu

Spread the loveWAKATI Mamlaka nchini Kenya, ikiendelea kukabidhi miili ya watu waliofariki...

Habari za Siasa

Rais Samia ampongeza mpinzani aliyeshinda urais Senegal

Spread the loveRAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amempongeza mwanasiasa wa...

error: Content is protected !!