Saturday , 4 May 2024
Home Kitengo Biashara NMB yashiriki uzinduzi mbio za Mwenge
Biashara

NMB yashiriki uzinduzi mbio za Mwenge

Mkuu wa kitengo cha biashara za Serikali wa Benki ya NMB, Vicky Bishubo akifurahia jambo na Spika mstaafu, Anne Makinda
Spread the love

MBIO za Mwenge wa Uhuru Kitaifa zimezinduliwa Jumamosi ya tarehe 2 Aprili 2022 na Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango mkoani Njombe. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Mwenge huo utakimbizwa katika mikoa yote 31 ya Tanzania Bara na Zanzibar na utahitimishwa tarehe 14 Oktoba 2022, mkoani Kagera.

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Waziri Kindamba (wapili kushoto) akiwa na Mkuu wa kitengo cha biashara za Serikali wa NMB, Vicky Bishubo (wa kwanza kushoto). Kulia ni meneja Mahusiano wa NMB Biashara za Serikali, Peter Masawe na wapili kulia ni Meneja mwandamizi wa Biashara za serikali, Josephine Kulwa.
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Isdor Mpango (wapili kushoto) akisalimiana na mkuu wa kitengo cha Biashara za Serikali wa NMB, Vicky Bishubo (mwenye koti jeusi) baada ya kuuwasha rasmi Mwenge wa Uhuru mkoani Njombe ambapo alikuwa mgeni rasmi. Kulia ni Spika mstaafu, Anne Makinda.

Benki ya NMB ni miongoni mwa taasisi zilizoshiriki uzinduzi huo. Pichani ni matukio mbalimbali wa viongozi wa benki hiyo kinara Tanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Biashara

Cash Days Promo mamilioni yanakusubiri, cheza kupitia Meridianbet kasino 

Spread the love  JIANDAE kwa mshangao wa kustaajabisha Meridianbet kasino ya mtandaoni...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yazindua huduma maalum kwa wastaafu

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua huduma maalum kwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yazindua akaunti ya Kikundi

Spread the loveBenki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi yenye  maboresho makubwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyakazi waidai STAMICO mishahara ya bilioni 1

Spread the loveWALIOKUWA wafanyakazi wa mgodi wa Shirika la Madini la Taifa...

error: Content is protected !!