Friday , 17 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Chama kikuu upinzani Sudan Kusuini wajiondoa bodi ya amani
Kimataifa

Chama kikuu upinzani Sudan Kusuini wajiondoa bodi ya amani

Spread the love

 

CHAMA kikuu cha Upinzani nchini Sudani Kusini , kimejiondoa kwenye Baraza la ufuatiliaji wa amani nchini humo , kikishutumu vikosi vinavyohasimiana kwa mashambulizi yasiyo na msingi. Inaripoti BBC … (endelea).

Aidha chama hicho cha upinzani cha Sudani Kusini , People’ s Liberation Movement kilisema kuwa shambulio hilo la hivi punde la silaha , lilifanyika siku ya Jumatatu ya tarehe 21 machi 2022.

Hata hivyo, chama hicho kinaongozwa na Makamu wa Rais, Riek Machar ambaye miaka miwili iliyopita aliunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa na aliyekuwa adui yake Salva Kiir.

Pia kuendelea kwa mvutano kati ya viongozi hao wawili , kumezuia kutekelezwa kwa makubaliano ya amani yenye lengo la kumaliza vita vya wenyewew kwa wenyewe, vya miaka mitano ambapo watu 400,000 wameuawa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Bunge kumuweka katibu mkuu wa EAC kikaangoni

Spread the loveAliyekuwa Katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dk. Peter...

Kimataifa

Palestina mwanachama wa 194 wa UN

Spread the loveBaraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Ijumaa limepitisha kwa...

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

error: Content is protected !!