Saturday , 18 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mtia nia Urais 2020 ageuka kiunganishi cha wachumba
Habari za Siasa

Mtia nia Urais 2020 ageuka kiunganishi cha wachumba

Spread the love

ALIYEKUWA mtia nia katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya urais mwaka 2020 kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Mayrose Majinge ameanzisha mtandao wa kukutanisha vijana wa kiume na kike ili kuwa wachumba.

Dk. Majinge amefunguka hayo mapema wiki hii katika mahojiano Maalum na MwanaHALISI Online na TV jijini Dar es Salaam.

Dk. Majinge amesema ameanzisha program hiyo baada ya kuona jamii inapata changamoto nyingi kutokana na mapenzi.

Amesema yeye na timu yake wameanzisha ili Programu hiyo ili kupunguza migogoro inayotokana na mapenzi.

“Watu wamekuwa wakijinyonga, wakiuana kwa sababu ya mapenzi sisi tunaponya majeraha yatokanayo na mapenzi lakini pia tunakutanisha watu na kuanzisha mahusiano kwa uwiano wa sifa,” amesema.

Kwa taarifa zaidi fuatilia mahojiano hayo kwenye Mwanahalisi TV.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Lissu akabidhiwa gari lake, aomba msaada wa matengenezo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu leo Ijumaa amekabidhiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Haya hapa majina walioteuliwa kugombea nafasi mbalimbali CHADEMA

Spread the loveCHAGUZI wa kanda za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Uingereza yamwaga bil. 9 kumuunga mkono Samia matumizi nishati

Spread the loveWaziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Selemani...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe abadili mbinu ya kudai Katiba mpya

Spread the loveMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia (Chadema), Fremaan Mbowe amebadili mbinu...

error: Content is protected !!